Ferguson augua ghafla: Taharuki yatanda Old Trafford baada ya kocha nguli kupelekwa hospitalini

Ferguson augua ghafla: Taharuki yatanda Old Trafford baada ya kocha nguli kupelekwa hospitalini

Ferguson augua ghafla akiwa Old Trafford na kukimbizwa hospitalini kwa matibabu ya dharura. Soma taarifa kamili kuhusu hali ya kocha huyo nguli wa Manchester United. Utangulizi wa Ferguson augua ghafla Habari zilizoshtua dunia ya soka zimeibuka baada ya kocha wa zamani wa Manchester United, Alex Ferguson, kuripotiwa kuugua ghafla akiwa ndani ya dimba la Old…

Soma Zaidi
Marcus Rashford Thamani Yake 2026: Utajiri, Mshahara, na Maisha ya Nyota huyu wa Barcelona. - sportsleo.co.tz

Marcus Rashford Thamani Yake 2026: Utajiri, Mshahara, na Maisha ya Nyota huyu wa Barcelona.

Marcus Rashford si jina geni katika masikio ya wapenzi wa soka nchini Tanzania. Tangu alipoanza kung’ara katika kikosi cha kwanza cha Manchester United mwaka 2016, amekuwa mmoja wa wachezaji wenye ushawishi mkubwa zaidi duniani. Katika makala haya, tutaangazia kwa kina Marcus Rashford thamani yake 2026, mabadiliko ya mshahara wake, na jinsi alivyoweza kujenga himaya ya…

Soma Zaidi

Michael Carrick anaisuka Man United ya Ferguson: Mapinduzi ya Kimyakimya Yanayotikisa Old Trafford 2026

Manchester United imekuwa katika kipindi cha misukosuko kwa muda mrefu, ikipitia mikononi mwa makocha mbalimbali tangu kuondoka kwa gwiji Sir Alex Ferguson. Hata hivyo, upepo umeanza kubadilika hivi karibuni. Kupitia uongozi wa muda wa kiungo wa zamani wa klabu hiyo, Michael Carrick anaisuka Man United ya Ferguson kwa kurejesha misingi ya soka la kushambulia, nidhamu…

Soma Zaidi
skysports michael carrick manchester united 7133900

Man United Yamkabidhi Carrick Kijiti,Man City Kumpa Jaribio La Kwanza

Klabu ya Manchester United imemtangaza rasmi Michael Carrick kuwa kocha mkuu wa muda hadi mwishoni mwa msimu huu, akirithi mikoba ya Ruben Amorim aliyeondoka Old Trafford wiki iliyopita, uamuzi unaoashiria mabadiliko mengine katika safari ndefu ya klabu hiyo kusaka uthabiti tangu enzi za Sir Alex Ferguson zilipofikia tamati mwaka 2013. Carrick, ambaye ni zao la…

Soma Zaidi
Www.sportsleo.co.tz

SOLSKJÆR Kurejea Manchester United

Klabu ya Manchester United imeingia katika mazungumzo ya ndani yanayolenga kumrejesha aliyekuwa kocha wao, Ole Gunnar Solskjær, kama kocha wa muda (caretaker manager) hadi mwishoni mwa msimu huu, kwa mujibu wa taarifa kutoka vyanzo mbalimbali zilizo karibu na klabu hiyo. Hatua hiyo inatajwa kuwa sehemu ya mkakati wa dharura wa uongozi wa Mashetani Wekundu, unaolenga…

Soma Zaidi
Screenshot 20250602 162450 Instagram

Man Utd Yasajili Straika Hatari

Klabu ya Manchester United imethibitisha kufikia makubaliano na klabu ya Wolves juu ya kumsajili mshambuliaji Matheus Cunha kwa ada ya uhamisho ya pauni Milioni 62.5 ili kujiweka sawa na msimu ujao baada ya kuchemsha msimu huu. Uhamisho wa mshambuliaji huyo raia wa Brazil unatarajiwa kukamilika rasmi baada ya kukamilika kwa visa yake na usajili baada…

Soma Zaidi
1 GettyImages 2091883060

Man Utd Yaipiga Liverpool

Klabu ya Manchester United i8mefanikiwa kupata ushindi wa   kibabe sana katika  moja ya mechi ngumu  kwenye Kombe la FA baada ya kuifunga  Liverpool Fc kwa mabao 4-3 katika mchezo uliochezwa kwa dakika 90 na 30mza nyongezauliofanyika katika  uwanja wa Old Trafford jijini Manchester. Man Utd chini ya kocha mdachi  Erik ten Hag ilianza kupata  bao…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks