Home Soka Ninja Atua kwa Kadabra

Ninja Atua kwa Kadabra

by Sports Leo
0 comments

Beki wa zamani wa Yanga Abdalah Shaibu “Ninja” amefanikiwa kujiunga na timu ya L.A Galaxy anayoichezea staa Zlatan Ibrahimovich ambayo inashiriki ligi kuu ya nchini Marekani.

Ninja amesajiliwa na MFK Kalvina ya ligi daraja la tatu nchini Czech ambayo amesaini mkataba wa miaka minne kama mchezaji huru na ametolewa kwa mkopo wa mwaka mmoja katika klabu hiyo ya Galaxy inayoshiriki ligi kuu nchini Marekani ya MLS.

banner

Awali beki huyo alisajiliwa na Yanga akitokea Mlandege ya Zanzibar na baada ya msimu mmoja wa changamoto alijizolea sifa kwa mashabiki wa timu hiyo kutokana na kujituma na nidhamu ya mchezo aliyokua nayo.

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited