Kiungo maestro wa klabu ya Yanga sc Haruna Niyonzima amenusurika katika ajali ya gari iliyosababishwa na Roli nchini Rwanda.
Niyonzima alikua pamoja na familia yake akitoka katika kambi ya timu ya taifa ya Rwanda kabla ya kufika njiani ndipo alipata ajali hiyo ambayo haikusababisha madhara kwake na wanafamilia isipokua gari ambayo imeharibika.
Kiungo huyo alikua katika majukumu ya klabu yake kuwania kufuzu michuano ya Afcon ambapo walikuwa na michezo dhidi ya Cameroon walipoteza kwa bao 1-0
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.