Home Soka Nusu Fainali,Hapatoshi Mapinduzi Cup

Nusu Fainali,Hapatoshi Mapinduzi Cup

by Sports Leo
0 comments

Nusu fainali ya kombe la mapinduzi Cup inatarajiwa kuendelea leo kati ya Yanga sc dhidi ya Azam Fc huku Simba sc ikiikaribisha Namungo Fc.

Mchezo kati ya Yanga sc dhidi ya Azam fc utafanyika mchana wa leo saa kumi jioni huku Simba sc dhidi ya Namungo utafanyika saa mbili na robo usiku huku michezo yote ikifanyika katika uwanja wa Amani visiwani Zanzibar.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited