Home Soka Onyango Ahitajika Mamelod

Onyango Ahitajika Mamelod

by Sports Leo
0 comments

Msemaji wa Klabu ya Simba Haji Manara amethibitisha kuwa vilabu vikubwa vinahitaji saini ya beki wao wa Kati, Joash Onyango, baada ya kuonyesha kiwango kizuri toka alipojiunga na hiyo.
Manara amesema thamani ya Mchezaji huyo ni Ksh 100million (zaidi ya Bilioni 2 kwa pesa ya Tanzania), na watakuwa tayari kumuachia endapo itakuwepo Klabu ya kutoa dau hilo.
Moja ya klabu ambayo imeonesha nia ya kumuhitaji beki huyo kisiki wa miamba ya soka nchini, klabu ya

Simba SC Tanzania ni miamba ya soka nchini Africa kusini, klabu ya Orlando Parates.

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited