Home Soka Pacha wa Tshitshimbi Anakuja Yanga

Pacha wa Tshitshimbi Anakuja Yanga

by Dennis Msotwa
0 comments

Klabu ya Yanga ipo katika hatua za mwisho kumsajili kiungo Ally Niyonzima kutoka klabu ya Rayon Sports ya nchini Rwanda.

Niyonzima 24 ni kiungo wa nafasi ya ulinzi ambayo inachezwa na Papy Tshitshimbi hivyo anakuja kuwa msaada kwa kiungo huyo kwa mujibu wa kocha wa Yanga Luc Eymael.

Mchakato wa kumsajili kiungo huyo unafanywa na wadhamini wa klabu hiyo Gsm ambapo usajili huo ni kukamilisha mapendekezo ya mwalimu Luc Eymael ambaye amidhinisha usajili huo.\

banner

Kiungo huyo ana uzoefu na mechi za kimatafa akiwa ameshirika michuano ya Afcon na ligi za kimataifa za Caf pia aliicheza soka la kimataifa katika klabu ya Al Bashaer nchini Oman.

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited