Home Soka Pogba,Bruno wateka shoo Utd ikiiua Leeds

Pogba,Bruno wateka shoo Utd ikiiua Leeds

by Dennis Msotwa
0 comments

Viungo wa Manchester United Paul Pogba na Bruno Fernandes wameiongoza timu yao kuichakaza Leeds United magoli 5-1 katika mchezo wa ligi kuu ya England uliopigwa Old Trafford.

Bruno Fernandes aliondoka na mpira baada ya kufunga magoli matatu(hat-trick) ikiwa ni ya kwanza kwake tangu ajiunge na timu hiyo na anakuwa mchezaji wa 10 kwenye historia ya ligi hiyo kufunga hat-trick katika mchezo wa ufunguzi.

Kwa upande wa Paul Pogba ameandikiwa pasi nne za usaidizi kwa timu yake akiwa ni mchezaji wa saba kwenye historia ya ligi hiyo kutoa idadi hizo za pasi za mwisho na kuiwezesha Man Utd kukaa kileleni mwa ligi hiyo.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited