Home Soka Pondamali Afunguka Kuondoka Yanga

Pondamali Afunguka Kuondoka Yanga

by Dennis Msotwa
0 comments

Pengine ni kinyume na watu walivyokua wanafikiri kuwa kocha Juma Pondamali alitimuliwa katika klabu ya Yanga sc lakini kocha huyo ameamua kufunguka ukweli juu ya kuondoka kwake.

Kocha huyo mwenye mbwembwe na mpenzi wa mziki wa dansi alisema kuwa hakufukuzwa klabuni hapo bali yeye mwenyewe aliomba kuondoka baada ya kuongea na mwenyekiti wa klabu hiyo Dk.Mshindo Msolla ambapo alimfungika mipango ya timu hiyo kwa msimu huu nan ndipo aliomba kuondoka ili apate stahiki zake.

“Baada ya kukubaliana na Msolla niliamua niondoke ili nipate stahiki zangu kwa maana nilifahamu timu haiwezi kufikia malengo yake na benchi la ufundi lingetimuliwa kabla ya msimu kuisha jambo ambalo lilitokea baadae”.

banner

 

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited