Home Soka Ronaldo Azua Balaa Juventus

Ronaldo Azua Balaa Juventus

by Sports Leo
0 comments

Klabu ya Juventus, huenda ikalazimika kumuuza nyota wake Cristiano Ronaldo, kutokana na kutikisika kiuchumi wakati huu wa janga la virusi vya Corona na klabu hiyo ipo katika hatari ya kushindwa kumlipa Ronaldo, mshahara wake wa pauni laki tano kwa wiki (£500,000).

Ikumbukwe kuwa siku chache zilizopita Ronaldo na wachezaji wenzake, pamoja na kocha, Maurizio Sarri, wamekubali kupunguziwa mishahara yao ya miezi minne kuanzia Machi, Aprili, Mei na Juni ili kuisaidia klabu yao, ambapo itaokoa karibia pauni milioni 80 katika kipindi hicho.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited