Straika Mnamibia wa klabu ya Yanga Sadney Urikhob ambaye inadaiwa ametoweka klabuni hapo ameonekana katika mazoezi ya timu hiyo yaliyofanyika katika uwanja wa uhuru jijini Dar es salaam.
Awali baadhi ya vyombo vya habari viriripoti taarifa kuhusu staa huyo kutoweka katika klabu hiyo lakini leo ameonekana katika mazoezi ya kujiandaa na mchezo wa ligi kuu dhidi ya Alliance fc jijini Mwanza.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.