Home Soka Samatta Kuwakosa Tunisia

Samatta Kuwakosa Tunisia

by Dennis Msotwa
0 comments

Habari mbaya kwa Watanzania ni kwamba nahodha wa timu ya Taifa(Taifa stars) Mbwana Samatta atakosekana katika kikosi kitakachoivaa timu ya taifa ya Tunisia katika kuwania kufuzu Afcon mwakani.

Nahodha huyo anayeichezea klabu ya Fernabache ya nchini Uturuki atakosekana katika kikosi hicho kilichoweka kambi nchini Uturuki kutokana na kusumbuliwa na majeraha na hivyo madaktari kumshauri apumzike.

Taifa stars inatarajiwa kucheza na Tunisia ugenini mjini Tunis kisha kurudiana baada ya siku nne jijini Dar es salaam.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited