Home Soka Shiboub Agoma Kurejea

Shiboub Agoma Kurejea

by Sports Leo
0 comments

Kiungo wa klabu ya Simba, Sharaf Eldin Ali Shiboub amegoma kurejea Tanzania kujiunga na Simba kwa madai ya kutotimiziwa mahitaji yake binafsi

Viongozi wa Simba wanajua Shiboub ameshindwa kurejea nchini kwa wakati kutokana na kufungwa kwa mipaka ya Sudani kwa sababu ya ugonjwa wa Corona.

Nyota huyo ambaye mkataba wake unaisha mwezi ujao na Klabu ya Simba anadai kuwa ameshindwa kupata nafasi ndani ya Simba Kutokana na ujio wa kocha Sven Vandenbroeck ambaye amekuwa sio chaguo lake kwenye kikosi cha Kwanza hivyo anaweza asirudi kabsa baada ya mkataba wake kuisha.

banner

Cc:African sports today

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited