Klabu ya Simba sc ipo mbioni kubadili nembo yake kwa mujibu ya taarifa kupitia mitandao ya kijamii ya klabu hiyo.
Klabu hiyo iliyoanzishwa mwaka 1936 imekua ikitumia nembo yenye rangi nyekundi na nyeupe huku ikiwa na alama ya Simba mnyama katika nembo hiyo.
Kuelekea katika kukamilisha mchakato huo klabu hiyo imeanza kukusanya maoni ya mashabiki ili kabla ya kuanza mchakato rasmi wa kukamilisha ubadilishaji huo.Tangazo lililowekwa katika mitandao ya klabu hiyo lilisomeka kama ifuatavyo:
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.