Home Soka Simba Kubadili Nembo

Simba Kubadili Nembo

by Dennis Msotwa
0 comments

Klabu ya Simba sc ipo mbioni kubadili nembo yake kwa mujibu ya taarifa kupitia mitandao ya kijamii ya klabu hiyo.

Klabu hiyo iliyoanzishwa mwaka 1936 imekua ikitumia nembo yenye rangi nyekundi na nyeupe huku ikiwa na alama ya Simba mnyama katika nembo hiyo.

Kuelekea katika kukamilisha mchakato huo klabu hiyo imeanza kukusanya maoni ya mashabiki ili kabla ya kuanza mchakato rasmi wa kukamilisha ubadilishaji huo.Tangazo lililowekwa katika mitandao ya klabu hiyo lilisomeka kama ifuatavyo:

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited