Timu ya wanawake ya Simba Queens wameibuka mabingwa wa ligi ya wanawake baada ya kuifunga timu ya Baobab Fc bao 1-0 katika mchezo wa ligi kuu ya wanawake nchini.
Timu hiyo inayonolewa na kocha Mussa Mgosi iliwapasa kusubiri mpaka dakika za mwishoni kupata bao kupitia kwa Aisha Jaffari na kufanikisha kufikisha alama 54 katika michezo yote huku wakipishana alama moja na Yanga Princess walioibuka na ushindi wa alama 53 baada ya leo kuibuka na ushindi wa mabao 6-0
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.