Home Soka Simba sc Yajibu Shutuma za Orlando

Simba sc Yajibu Shutuma za Orlando

by Sports Leo
0 comments

Kufuatia kufungwa 1-0 na klabu ya Simba sc katika mchezo dhidi ya Orlando Pirates ambapo Kocha wa Klabu hiyo Mandla Ncikazi aliituhumu klabu ya Simba sc kwa kutumia mbinu chafu nje ya uwanja.

Ncikazi alitoa shutuma hizo baada ya mchezo huo ambapo aliishutumu klabu hiyo kuhusu mapokezi mabovu pamoja na kutotumika kwa Var (Video Assistance Reffaree) uwanjani hapo hali iliyosababisha klabu ya Simba sc ipate penati ambayo ilitokana na Benard Morrison kuangushwa eneo la 18 huku wachezaji wa Orlando wakimtaka mwamuzi kujiridhisha kwa Var.

Tukio hilo lilileta mijadala mbalimbali barani Afrika hasa nchini Tanzania na Afrika ya kusini huku kocha huyo akisema kuwa Simba sc wamebebwa na leo hii klabu ya Simba sc imejibu shutuma hizo kwa kutoa tamko rasmi kwa waaandishi wa habari kama linavyosomeka hapo chini.

banner

 

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited