Home Soka Simba Yaua Mtu Bondeni

Simba Yaua Mtu Bondeni

by Sports Leo
0 comments

Leo asubuhi Simba sc ilikua na mechi ya kirafiki na timu ya Orbret Tvet ya nchini humo katika kujiandaa na msimu wa ligi kuu na michuano ya kimataifa ambapo timu hiyo imeibuka na ushindi wa magoli 4-0.

Katika mchezo huo uliokua na mapumziko kila baada ya dakika 30 Simba ilipata magoli kupitia kwa  nahodha John Boko aliyefunga mabao mawili na Hassan Dilunga akifunga moja huku Mbrazili Wilker Da silva nae akifunga goli moja.

Katika mchezo huo simba ilionyesha soka safi licha ya kupata ushindi huo mnono na inatarajiwa kucheza mchezo mwingine siku ya kesho dhidi ya Platnum stars.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited