Home Soka Sisajili Mchezaji Simba sc

Sisajili Mchezaji Simba sc

by Sports Leo
0 comments

Kupitia mtandao wa AS-Far.com, kocha wa zamani wa Simba SC Tanzania ambaye hivi sasa anaifundisha klabu ya FAR Rabat amesema licha ya klabu yake ya zamani kuwa na wachezaji wazuri na wenye ubora mkubwa lakini hafikiri kuwasajili kwasababu tayari wachezaji hao wana mikataba na Simba na ili kuwasaji unatakiwa ulipe kiasi cha pesa kisichopungua $1m (dola milioni moja).
“Licha ya Simba kuwa na wachezaji wazuri sana lakini sifikirii kusajili mchezaji yeyote kutoka katika klabu hiyo kwasababu tayari klabu ya Simba imewasainisha mikataba mirefu hivyo ili kuwapata itakubidi uwalipe ada ya usajili kiasi cha pesa kisichopungua dola milioni moja” alisema Sven

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited