Home Soka Staa Yanga sc Amtamani Gaucho wa Simba Queens

Staa Yanga sc Amtamani Gaucho wa Simba Queens

by Dennis Msotwa
0 comments

Mshambuliaji wa klabu ya Yanga Princess, Aisha Masaka amefunguka kuwa, malengo yake makubwa ni kuhakikisha anapata nafasi ya kucheza soka la kulipwa nje ya nchi kama ilivyo kwa Mwanahamisi Omary ‘Gaucho’ aliyetimkia nchini Morocco.

Akizungumzia ishu hiyo Masaka alisema: “Mchezo wa soka umezidi kukua na kuwa biashara kubwa katika maeneo mbalimbali duniani, na kila ndoto ya mchezaji ni kuona anapata maslahi mazuri na kucheza soka la ushindani.

“Hivyo natamani nami nifikie kule ambako wamefika wenzangu ikiwemo Mwanahamisi”Alisema mshambuliaji huyo mkali kwa upande wa wanawake.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited