Home Soka Stars Haoo Chan

Stars Haoo Chan

by Sports Leo
0 comments

Timu ya taifa ya Tanzania(Taifa stars) imeingiza mguu mmoja katika fainali za mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ndani ya nchi baada ya jana kuifunga Kenya(Harambee stars) mabao 4-1 katika mikwaju ya penati.

Stars ilikwenda nchini Kenya ikiwa na deni baada ya kutoa sare katika mchezo wa awali hapa nchini na hivyo kuwalazimu kutafuta ushindi au sare ya magoli ili waweze kufuzu.

Mpaka dakika tisini za mchezo zinamalizika matokeo yalikua sare na kulazimu mchezo kuingia hatua ya matuta na timu umuhimu wa kipa Juma Kaseja ulipoonekana baada ya kupangua penati mbili na kuifanya Stars kufuzu kwa ushindi wa 4-1.

banner

Kufuatia ushindi huo stars itahitaji kushinda mechi inayofuatia dhidi ya Sudan ili kujitengenezea mazingira ya ushindi.

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited