Lebo: chan
Bafana Bafana Hali Tete
Timu ya Taifa ya Afrika kusini maarufu kama Bafana Bafana ilishindwa kufanikiwa kuwafunga timu ya Taifa ya Niger katika mchezo wao wa pili wa kundi D wa Kombe la Mataifa ya Afrika (CHAN) baada ya kupata sare ya 0-0 ambayo inaweza kuwa na matokeo mabaya kwa malengo yao ya kufuzu hatua ya robo fainali ya…
Kenya Yapigwa Faini Chan
Marrakech – Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limesema wasiwasi mkubwa kuhusu udhaifu wa usalama kwenye Uwanja wa Kasarani wakati wa mechi za Kenya katika Mashindano ya Mataifa ya Afrika (CHAN) 2024, hasa baada ya matukio yaliyotokea wakati wa mechi ya Kenya dhidi ya Morocco Jumapili. Katika barua rasmi iliyoelekezwa kwa Kamati ya Maandalizi…
- 1
- 2
