Home Soka Straika Yanga Aibuka Mfungaji Bora

Straika Yanga Aibuka Mfungaji Bora

by Dennis Msotwa
0 comments

Straika wa zamani wa klabu ya Yanga Kpah Sherman ameibuka mfungaji bora wa ligi kuu ya Malaysia baada ya kufunga mabao 14 katika mechi 19 akiichezea timu ya PKNS fc.

Sherman alihudumu Yanga 2014/2015 kwa takribani nusu msimu kabla ya kutimkia Mpumalanga Black Acces ya Afrika Kusini, akiwa Yanga SC alicheza mechi 27 na kuifungia mabao sita kwenye michuano yote.

Hata hivyo mabao ya staa huyo hayakutosha kuifanya timu hiyo imalize nafasi za juu baada ya kumaliza nafasi ya tisa kati ya timu 12.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited