Home Soka Super League Utata Mtupu

Super League Utata Mtupu

by Sports Leo
0 comments

Vilabu 12 vikubwa Ulaya vimeamua kutangaza rasmi kuanzisha michuano mipya ya European Super League, UEFA inapinga vikali michuano hiyo ambayo imepangwa kuwa inafanyika kuanzia August na May kwa kucheza nyumbani na ugenini.
Michuano hiyo itakuwa na jumla ya Timu 20 zitazotengeneza makundi mawili A na B yenye Timu 10, wanaomaliza nafasi tatu za juu kila Kundi wanafuzu robo fainali, nafasi ya nne na tano kucheza Play off huku fainali ikichezwa uwanja huru.
Timu tano kati ya 20 zitakuwa zinashuka kila mwaka na tano kupanda, vilabu vilivyoridhia kuunda michuano hiyo ni AC Milan, Inter, Juventus, Atletico, Barcelona, Real Madrid, Arsenal, Liverpool, Man City, Man Utd, Chelsea na Tottenham.

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited