Home Soka Thiago Silva Anukia Epl

Thiago Silva Anukia Epl

by Sports Leo
0 comments

Thiago Silva amesema yu tayari kusalia katika mojawapo ya klabu za bara Ulaya kwa misimu miwili zaidi baada ya waajiri wake Paris Saint-Germain (PSG) kumweleza kwamba hawatarefusha mkataba wake mwishoni mwa muhula huu.

Psg kupitia kwa mkurugenzi wa michezo wa klabu hiyo Leonardo walithibitisha kuwa hawatamuongeza mkataba nahodha huyo wa muda mrefu klabuni hapo.

Taarifa za awali zinadai kwamba klabu ya Arsenal ipo mbioni kumsajili staa huyu mwenye miaka 35 japo watakumbana na upinzani mkali kutoka Ac Milan,Everton,Wolves na Westham huku pia timu za kutoka Marekani,Qatar na Brazil zinammndea staa huyo.

banner

 

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited