Home Soka Toto Yalia Hujuma

Toto Yalia Hujuma

by Dennis Msotwa
0 comments

Uongozi wa klabu ya Toto Africans inayoshiriki Ligi Daraja la Pili umetuma maombi kwenda Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) ukidai haki baada ya kueleza kuwa wamefanyiwa hujuma na wapinzani wao Kasulu Red Stars kutokana na kuwachezesha ‘mamluki’ katika mechi ya mwisho ya ligi hiyo.

Toto inapambana ili kurudi ligi daraja la kwanza na hatimaye kurudi ligi kuu ambako ilijipatia umaarufu zaidi baada ya kuzikazia timu kubwa hasa Simba sc.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited