Home Soka Twiga Stars Yampiga Mtu Wiki

Twiga Stars Yampiga Mtu Wiki

by Dennis Msotwa
0 comments

Timu ya Taifa ya wanawake (Twiga stars) imeibuka na ushindi wa mabao 7-0 dhidi ya timu ya taifa ya wanawake ya Mauritania katika michuano ya kanda ya kaskazini kwa timu za wanawake (Unaf) mchezo uliochezwa katika uwanja wa Akram.

Mabao ya Twiga Stars yalifungwa na Amina Ally 13′ Opa Clement 17′ na Aisha Hamza aliyefunga mabao mawili dakika za 23 na 45 huku Mwanahamis Omary akifunga dakika za 30 na 40 na Enekia Kasonga akifunga bao moja dakika ya 27.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited