Home Soka Ubabe Mwisho EPL

Ubabe Mwisho EPL

by Dennis Msotwa
0 comments

Ndio msemo rahisi kuusema kwa sasa baada ya jana Liverpool kushindwa kuonyesha ubabe mbele ya Atletico Madrid baada ya kukubali kipigo cha bao 1-0 katika mchezo wa klabu bingwa barani ulaya.

Saul Niguez ndie aliepeleka kilio baada ya kufunga bao dakika ya nne ya mchezo na kuwatanguliza wenyeji katika uwanja wa Estadio Metropolitano licha ya Liver kuwa na umiliki wa mpira kwa asilimia 73.

Liverpool itawalazimu kujipanga mchezo wa marudiano utakaofanyika Anfield ili kuweza kufuzu hatua ya robo fainali.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited