Home Soka Ulimwengu Aikoa Mazembe

Ulimwengu Aikoa Mazembe

by Sports Leo
0 comments

Mshambuliaji Taifa Stars na TP Mazembe ya Thomas Ulimwengu amezidi kung’aa Ligi Kuu Congo baada ya kuipatia ushindi timu yake wa 1-0 vs Dauphin Noir.

Goli la Ulimwengu linamfanya afikishe jumla ya magoli 4 ktk Ligi 2020/21 akiwa nafasi ya 2 kwa vinara wa magoli.

Mchezaji huyo hivi karibuni amekua akifanya vizuri tangu ajiunge na miamba hiyo baada kujiunga nao akitokea nchini Algeria Js Saoura huku pia akipitia ligi kuu nchini Sudan.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited