Kufuatia kipigo cha mabao 2-1 walichokutana nacho simba sc dhidi ya Kmc hapo jana katika uwanja wa Chamazi baadhi ya wadau wa soka wamehoji kuhusu viwango vya wachezaji kutokana Brazil wanaoichezea timu hiyo.
Wachezaji hao Tairone Da silver,Wilker na Gerson Fraga wamekua gumzo kufuatia kipigo cha jana cha mabao yaliyofungwa na Kenny Ally ikionekana kuwa uzembe wa beki wa kibrazili ndio ulisababisha mabao hayo hasa bao la pili lililofungwa kwa shuti kali.
Wachezaji hao bado hawajawa na msimu mzuri klabuni hapo wakipambana ili kuzoea mazingira hasa hali ya hewa na lugha huku majeraha yakiwa ni sababu ya kutoonesha uwezo kwa baadhi yao.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.