Home Soka Wabunge Waishukia Tff,Basata

Wabunge Waishukia Tff,Basata

by Sports Leo
0 comments

Baadhi ya wabunge wa bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania wametoa malalamiko kuhusu utendaji wa taaasisi za michezo nchini za shirikisho la soka(TFF) na baraza la sanaa la Taifa(Basata).

Wabunge hao wamesema hayo bungeni wakati wakichangia bajeti ya Wizara ya michezo sanaa na utamaduni ambapo mbunge Festo Sanga alilalamikia kuhusu utendaji wa vyombo hivyo nchini huku akiungwa mkono na mbunge wa Muheza Hamis Mwinjuma pamoja na Mbunge wa Mafinga mjini Cosato Chumi ambaye alilalamika suala la Tff kugeuka kuwa chombo cha kufungia fungia.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited