Home Soka Waziri Mkuu Apiga “Stop” Mazoezi

Waziri Mkuu Apiga “Stop” Mazoezi

by Sports Leo
0 comments

Waziri mkuu wa Italy Giuseppe Conte amekataza vilabu kurejea mazoezini na kusubiri angalau April 13 ili kuendelea kuchukua tahadhari kuhusu janga hili la mlipuko wa virusi vya Corona.

Ligi zote nchin Italia zilisimamishwa hadi ambapo tarehe rasmi itakapotolewa huku mechi pamoja na mazoezi yakisamamishwa ili kuepuka mkusanyiko wa watu kutokana na kusambaa kwa ugonjwa huo.

Lazio na Napoli tayari walikuwa wamewaruhusu wachezaji wao kurejea mazoezini na kabla ya yote vilabu hivyo vilipanga kuwapima kwanza wachezaji wao kabla ya mazoezi hayo kuanza.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited