Waziri mkuu wa Italy Giuseppe Conte amekataza vilabu kurejea mazoezini na kusubiri angalau April 13 ili kuendelea kuchukua tahadhari kuhusu janga hili la mlipuko wa virusi vya Corona.
Ligi zote nchin Italia zilisimamishwa hadi ambapo tarehe rasmi itakapotolewa huku mechi pamoja na mazoezi yakisamamishwa ili kuepuka mkusanyiko wa watu kutokana na kusambaa kwa ugonjwa huo.
Lazio na Napoli tayari walikuwa wamewaruhusu wachezaji wao kurejea mazoezini na kabla ya yote vilabu hivyo vilipanga kuwapima kwanza wachezaji wao kabla ya mazoezi hayo kuanza.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.