Home Soka Yanga sc Kamili Kuivaa Namungo

Yanga sc Kamili Kuivaa Namungo

by Dennis Msotwa
0 comments

Ikiwa tayari kikosi cha timu Yanga sc kimewasili wilayani Ruangwa ambapo leo kitawavaa Namungo Fc katika mchezo wa ligi kuu nchini benchi la ufundi la timu hiyo limesema wako kamili kwa mchezo huon utakaofanyika leo jioni.

Licha ya kuwakosa mabeki Abdalla Shaibu na Yassin Mustapha huku kiungo sukari Carlos Carlinhos nae akikosekana pamoja na Farid Mussa na Haruna Niyonzima,wachezaji wengine wako tayari kwa mchezo kwa mujibu wa mkuu wa kitengo cha  Habari cha klabu hiyo.

 

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited