Uongozi wa Yanga umewarejesha kikosini nyota wake watatu, Cleofas Sospeter, Ali Ali na Raphael Daudi ambao walikuwa wametolewa kwa mkopo kwenda vilabu vya Singida United na Jkt Tanzania.
Cleofas na Lothi walipaswa kujiunga na kabu ya Singida United wakati Ali Ali alitakiwa akaitumikie JKT Tanzania,Hata hivyo nyota hao walipinga kutolewa kwa mkopo wakiomba wapewe nafasi ya kupigania namba kikosini huku Ali Ali akisisitiza kupelekwa Kmc kama ikishindikana.
Ali na Cleofas leo wameshiriki mazoezi maandalizi ya mchezo dhidi ya Lipuli Fc ambao utapigwa kesho kwenye uwanja wa Taifa huku Loth ikiwa hajaonekana.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.