Home Soka Yanga Yakomaa Kesi ya Morrison

Yanga Yakomaa Kesi ya Morrison

by Sports Leo
0 comments

Makamu mwenyekiti wa klabu ya Yanga sc David Mwakalebela amesema kwamba tayari timu hiyo imeshalipa ada ya kusikiliza kesi ya Morrison katika mahakama ya kimataifa ya michezo duniani Cas.

Mwakalebela alisema hayo wakati akizungumza na vyombo vya habari akiwa Visiwani Zanzibar wakati timu hiyo ilipotwaa ubingwa wa kombe la mapinduzi.

“Jana ilikuwa ni deadline ya malipo, sisi kama klabu ya Yanga tulisema tumedhamilia kupata haki na malipo tulishafanya kwa hiyo tunasubiria kupangiwa kesi itafanyika lini”Alisema mwakalebela

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited