Makamu mwenyekiti wa klabu ya Yanga sc David Mwakalebela amesema kwamba tayari timu hiyo imeshalipa ada ya kusikiliza kesi ya Morrison katika mahakama ya kimataifa ya michezo duniani Cas.
Mwakalebela alisema hayo wakati akizungumza na vyombo vya habari akiwa Visiwani Zanzibar wakati timu hiyo ilipotwaa ubingwa wa kombe la mapinduzi.
“Jana ilikuwa ni deadline ya malipo, sisi kama klabu ya Yanga tulisema tumedhamilia kupata haki na malipo tulishafanya kwa hiyo tunasubiria kupangiwa kesi itafanyika lini”Alisema mwakalebela
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.