Home Soka Yanga Yampeleka Nchimbi Stars

Yanga Yampeleka Nchimbi Stars

by Sports Leo
0 comments

Mshambuliaji wa timu ya Polisi Tanzania Ditram Nchimbi ameongezwa katika kikosi cha wachezaji walioitwa na kocha Ettiene Ndayiragije kujiunga na kambi ya Taifa stars inayojiandaa na mchezo dhidi ya Rwanda utakaofanyika jijini Kigali.

Mchezo huo wa kirafiki wa kalenda ya Fifa utafanyika october 14 ambapo awali kocha wa stars aliita jumla ya wachezaji 28 lakini baada ya mchezaji huyo kuifunga Yanga mabao 3 katika mechi iliyofanyika october 3 ambapo mabao hayo yamemfanya Ndayiragije kumuongeza mchezaji huyo katika kikosi hicho hivyo kufikisha jumla wachezaji 29 walioitwa.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited