Klabu ya Yanga sc alfajiri ya leo imenza safari kuelekea mkoani Tabora kuwavaa timu ya Biashara United katika mchezo wa kombe la shirikisho nchini la Azammchezo utakaofanyika katika uwanja wa Ali Hassan Mwinyi mkoani humo.
Kikosi hicho kilichoondoka kina mastaa wpte isipokua Lamine Moro na Metacha Mnata waliosimamishwa kutokana na masuala ya nidhamu huku Michael Sarpong,Abdala Shaibu na Balama Mapinduzi wakiachwa kutokana na kuwa majeruhi wakati Ditram Nchimbi akiungana na kikosi baada ya kuwa na msiba.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.