Home Soka Yanga Yatua Bungeni

Yanga Yatua Bungeni

by Sports Leo
0 comments

Klabu ya Yanga mapema leo asubuhi iliwasili katika bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mjini Dodoma baada ya kupata mwaliko.

Timu hiyo iliwasili ikiwa imeambatana na Mkurugenzi wa Uwekezaji wa Kampuni ya GSM injinia Hersi Said pamoja na viongozi wengine wa klabu hiyo huku wakilakiwa na Waziri wa Habari na Michezo Dk.Harrison Mwakyembe.

Klabu hiyo iliyoanzishwa mwaka 1935 ni mabingwa wa kihistoria nchini wakiwa wametwaa taji la ligi kuu mara 27 wapo jijini Dodoma kwa ajili ya mchezo wa ligi kuu dhidi ya Jkt Tanzania siku ya Jumatano.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited