Beki Kelvin Yondani ametua katika klabu ya Polisi Tanzania kama mchezaji huru baada ya kuachana na Yanga sc msimu uliopita kutokana na kushindwana katika maslahi.
Beki huyo mkongwe ametua Polisi Tanzania kwa mkataba wa mwaka mmoja ambao utaisha rasmi januari mwakani.
Polisi Tanzania itafaidika na uwepo wa mkongwe huyo kutokana na kuwa na uzoefu wa kutosha kucheza ligi kuu nchini akiwa amezichezea Simba sc na Yanga sc kwa mafanikio makubwa.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.