Home Soka Zahera Afunguka Kutimuliwa Mbeligiji Yanga sc

Zahera Afunguka Kutimuliwa Mbeligiji Yanga sc

by Sports Leo
0 comments

Aliyewahi kuwa Kocha wa Yanga, Mwinyi Zahera ambaye alitimuliwa kikosini hapo amezungumzia ishu ya kufutwa kazi kwa Kocha Luc Eymael na kusema Yanga watabaki hivohivo kwa miaka mitano ijayo.

Zahera amesema “wakati mnatenda mabaya au kuzulumu watu Mungu atawaadhibu kwa hayo hivyo hawawezi kuwa na furaha moyoni wakati wanabeba damu mikononi”.

Kocha huyo msaidizi wa timu ya Taifa ya Kongo aliwahi kuwa kipenzi cha wanayanga kiasi cha kusaidia kuhamasisha mashabiki wa timu hiyo kuichangia klabu hiyo katika michezo mbalimbali.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited