Taarifa kutoka nchini Burundi zinasema klabu ya Yanga sc ipo katika hatua za mwisho kumalizana na winga wa nchi hiyo Jean Claude Girumugisha ambaye anakipiga katika klabu ya Al Hilal …
caf
-
-
Msafara wa kikosi cha timu ya Simba sc kijatarajiwa kuondoka alfajiri ya kesho Machi 28 kuelekea nchini Misri kwa ajili ya mchezo wa kombe la shirikisho barani Afrika dhidi ya …
-
Beki wa klabu ya Simba Sc Che Malone Fondoh anatarajiwa kuukosa mchezo wa kombe la shirikisho barani Afrika dhidi ya Al Masry unaotarajiwa kufanyika nchini Misri Aprili 2 2025. Beki …
-
Klabu ya Simba Sc imewatangazia mashabiki wake walionunua tiketi kuelekea mchezo wao wa hatua ya makundi ya kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Cs Constantine watatumia tiketi hizo kwenye mchezo …
-
Timu ya soka ya Wanaume ya Tanzania (Taifa Stars) imepoteza mchezo wa kuwania kufuzu kombe la dunia mwaka 2026 dhidi ya Morocco baada ya kukubali kufungwa mabao 2-0 katika mchezo …
-
Kipa wa klabu ya Simba Sc Moussa Pinpin Camara ameanzia benchi katika mchezo wa kuwania kufuzu michuano ya kombe la Dunia mwaka 2026 baina ya Taifa lake Guinea dhidi ya …
-
Uongozi wa klabu ya Simba Sc unafanya mawasiliano ya karibu na shirikisho la mpira nchini (TFF) ikiwezekana wachezaji wao walioko katika majukumu ya timu ya Tanzania (Taifa Stars) baada ya …
-
Nyota wa Aalborg BK ya Denmark Kelvin John tayari amejiunga na kambi ya timu ya Taifa ya Tanzania ambayo imekita kambi ya maandalizi kujiandaa na mchezo wa kufuzu kombe la …
-
Msemaji mkuu wa Serikali na Katibu mkuu wa Wizara ya Habari Sanaa Utamaduni na Michezo Mh.Gerson Msigwa amesema uwanja wa Benjamin Mkapa uko tayari kwa ukaguzi wa wa Shirikisho la …
-
Shirikisho la soka barani Afrika (Caf) limeamua kuufungia uwanja wa Benjamini Mkapa kutokana na sehemu ya kuchezea ya uwanja huo kutokua na ubora unaohitajika kwa mujibu wa viwango vya ubora …