Kocha msaidizi wa klabu ya Simba Sc Selemani Matola amekiri kuwa timu yake ya Simba Sc itakutana na mchezo mgumu itakapowavaa Singida Black Stars katika mchezo wa ligi kuu ya …
coastal union
-
-
Klabu ya Coastal Union ya Tanga imekamilisha usajili wa kiungo mshambuliaji wa klabu ya KenGold Fc Kiala Lassa ambaye amesajiliwa kama mchezaji huru baada ya kumaliza mkataba wake na klabu …
-
Klabu ya Coastal Union hatimaye baada ya michezo mingi ya ligi kuu ya Nbc nchini leo imefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 katika mchezo wa ligi kuu ya Nbc …
-
Kocha Juma Mwambusi ameachana na klabu ya Coastal Union kwa makubaliano ya pande mbili baada ya timu hiyo kuwa na mfululizo wa matokeo yasiyoridhisha katika ligi kuu ya Nbc nchini. …
-
Klabu ya soka ya Coastal Union yenye makazi yake jijini Tanga imekabidhiwa basi jipya aina ya Youtong na benki ya biashara ya Nbc nchini kwa ajili ya kurahisisha safari zake …
-
Nyota wa kimataifa wa Kenya Abdallah Hassan ameachana na klabu ya Coastal Union baada ya kufikia makubaliano ya Pande zote mbili. Mshambuliaji huyo aliyesajiliwa wakati wa dirisha dogo la usajili …
-
Klabu ya Yanga sc imefanikiwa kufuzu hatua ya 16 bora ya michuano ya kombe la Shirikisho nchini baada ya kuifunga timu ya Coastal Union kwa mabao 3-1 katika mchezo wa …
-
Wachezaji Che Malone Fondoh pamoja na kipa Moussa Camara wana hatihati ya kucheza mchezo ujao dhidi ya Coastal Union kutokana na kusumbuliwa na majeraha waliyoyapata katika mchezo wa ligi kuu …
-
Klabu ya Coastal Union ya Jijini Tanga imesajili mshambuliaji Amara Bagayoko raia wa Mali ili kuongeza ufanisi katika safu ya ushambuliaji ya klabu hiyo. Mshambuliaji huyo mwenye miaka 26 amesajiliwa …
-
Kocha Juma Mwambusi ana kazi ya kufanya baada ya kuishuhudia klabu yake ya Coastal Union ikikubali kichapo cha mabao 3-2 kutoka kwa Fountain Gate Fc katika mchezo wa ligi kuu …