Shirikisho la soka duniani (fifa) limekana kumbeba staa wa Argentina Lionel Messi ili kutangazwa mchezaji bora wa dunia kwa upande wa wanaume iliyofanyika septemba 23 jijini Milan Italia. Messi alishinda …
misri
-
-
Baada ya sintofahamu ya muda mrefu hatimaye kiungo mshambuliaji wa zamani wa Simba sc Shiza kichuya amejiunga na timu ya Pharco fc inayoshiriki ligi daraja la kwanza nchini Misri kwa …
-
Kiungo wa zamani wa Azam Fc Himid Mao Mkami amejiunga rasmi na timu ya ENPPI akitokea klabu ya Petrojet ya huko huko nchini Misri. Mao mtoto wa kiungo wa zamani …
-
Winga wa zamani wa Simba sc Shiza Ramadhani Kichuya yupo nchini Tanzania akitafuta timu ya kuchezea baada ya ile ya Awali ya NPPI ya nchini Misri kumaliza mkataba nayo ambao …
-
Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Uganda(The cranes) Emmanuel Okwi yupo mbioni kukamilisha uhamisho wa kujiunga na timu inashiriki ligi kuu ya uarabuni (UAE) Fujairah Fc. Okwi mpaka sasa ni …
-
Kamati ya usajili ya Yanga ambayo imetua nchini Misri kwa ajili ya kazi maalumu ya kuhakikisha inamalizana na mastaa ambao ilifanya nao mazungumzo kuhusu kutua klabuni hapo na baada ya …
-
Mbunge na mshabiki wa Yanga Mwigulu Nchemba tayari amekamilisha ahadi yake aliyoitoa mbele ya hadhira siku ya tamasha la kuichangia klabu hiyo ‘Kubwa kuliko’ lililofanyika katikati ya mwezi mei mwaka …
-
Ni kama Timu ya taifa ya Uganda imeshafuzu hatua ya mtoano wa michuano ya Afcon inayoendelea nchini Misri baada ya jana kuibuka na ushindi wa magoli mawili kwa moja dhidi …
-
Kocha wa timu ya taifa ya Tanzania(Taifa stars) Emmanuel Amunike amemvaa kiungo wa Yanga Feisal Salum “Fei toto” juu ya kadi za njano anazopata mara kwa mara. Kocha huyo mnigeria …
-
Beki mkongwe wa Tanzania Erasto Edward Nyoni ambaye alikua na majeraha yaliyomfanya kukosa mchezo wa ufunguzi wa fainali za mataifa ya Afrika(Afcon) dhidi ya Senegali imeripotiwa amepona majeraha hayo na …