Home Makala Chama Abaki Dar

Chama Abaki Dar

by Sports Leo
0 comments

Licha ya msafara wa pili wa klabu ya Simba sc kuondoka kuelekea kambini nchini Uturuki bado staa wa timu hiyo Cletous Chama amebaki jijini Dar es salaam ikitaarifiwa kuwa kuna mambo ya kiofisi anashughulikia.

Msafara huo wa pili unajumuisha mastaa wapya kama Fabrice Ngoma,Che Fondoh Malone,Aubin Kramo,Jean Baleke na wengine ambao walibaki hapa nchini kukamilisha baadha ya taratibu za usajili na safari.

“Kundi la pili limeondoka alfajiri ya leo na Chama hajaondoka kwenda Uturuki, suala lake lipo katika uongozi wa juu wakijaribu kulishughulikia litakapoamriwa basi tutawajulisha.” Meneja wa habari na mawasiliano Simba SC, Ahmedi Ali akizungumza ndani ya Sports Bando ya 107.3 UFM.

banner

Chama inadaiwa ana mgogoro wa kimkataba na uongozi wa klabu hiyo ambapo kuna baadhi ya mahitaji yanapaswa kutimizwa wakati huu hasa dau la usajili ambalo lililipwa nusu.

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited