Chama Asaini Miwili Simba SC? Habari Kubwa Yazua Furaha Msimbazi Kabla ya Coastal Union
Chama asaini miwili Simba Sc baada ya taarifa kueleza kuwa kiungo mshambuliaji Clatous Chota Chama amekubali kuongeza mkataba mpya wa miaka miwili kuendelea kuitumikia Simba SC hadi mwaka 2028. Chama Asaini Miwili Simba SC? Furaha Yatawala Msimbazi Kabla ya Mechi ya Coastal Union Taarifa zinazotoka ndani ya klabu ya Simba SC zimeibua msisimko mkubwa miongoni…
