Home Makala Watatu Kupunguzwa Simba sc

Watatu Kupunguzwa Simba sc

by Sports Leo
0 comments

Ikiwa tayari wapo  kileleni mwa msimamo wa ligi kuu kwa alama sita baada ya kushuka uwanjani mara mbili imebainika kwamba kocha mkuu wa timu hiyo Roberto Oliveira ‘Robertinho’ yupo kwenye mipango ya kufyeka wachezaji watatu kabla dirisha la usajili halijafungwa Agosti 31.

Taarifa za ndani yaklanu hiyo zinasema kuwa wachezaji ambao wameshindwa kulishawishi benchi la ufundi na sasa uongozi unafikiria kuwatoa kwa mkopo ama ikishindikana kuwauza kabla dirisha la usajili halijafungwa.

Kutokana na hilo mastaa kama Jimyson Mwanuke, kipa Ahmed Feruz na mshambuliaji Mohamed Mussa wapo katika hatihati ya kuwekwa sokoni kwa sasa kutokana na  mapendekezo ya kocha Robertinho.

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited