Akitoa taarifa hiyo kwa vyombo vya habari Katibu Mkuu wa Shirikisho la Ngumi Tanzania (TPBRC) George Lukindo amesema kuwa mbali na adhabu hiyo Mwakinyo anatakiwa kulipa faini ya shilingi Milioni Moja kwa shirikisho hilo kutokana na kutenda kosa hilo ambapo pia alitoa lugha isiyo na staha wakati wa kikao na shirikisho hilo.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.