Mwakinyo Huru
Kamisheni ya ngumi za kulipwa nchini (TPBRC) imemfungulia bondia Hassan Mwakinyo kutoka kifungoni baada ya kufanyika kikao cha maridhiano baina ya kambi ya bondia huyo,Kamisheni na kampuni ya PAF Promotions ambayo ndiyo iliyopeleka malalamiko. Hapo awali bondia huyo alifungiwa mwaka mmoja na kamisheni hiyo sambamba na kupigwa faini ya shilingi milioni moja za kitanzania huku…
