Home Soka Messi,Ronaldo Kumekucha Ballon d’Or

Messi,Ronaldo Kumekucha Ballon d’Or

by Sports Leo
0 comments

Orodha ya wachezaji kumi bora watakaowania tuzo ya mchezaji bora wa dunia imetoka huku mastaa Christiano Ronaldo na Lionell Messi wakiongoza katika orodha hiyo ambayo itapigiwa kura na manahodha na makocha  wa timu za taifa pamoja na baadhi ya waandishi wa habari.

Majina hayo yanajumuisha wachezaji waliofanya vizuri katika klabu zao na timu za taifa kwa mwaka ulioisha hadi kusaidia timu zao kutwaa mataji makubwa duniani hasa ulaya.

Katika orodha hiyo mbali na Ronaldo na Messi wengine ni Mohamed Salah, Frenkie de Jong,Matthijs de Ligt,Eden Hazard,Harry Kane,Sadio Mane,Kylian Mbappe na Virgil van Dijk huku ikitarajiwa mshindi kutangazwa mwezi septemba jijini Milan,Italia.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited