Mastaa Simba sc Kikaangoni
previous post
Klabu ya Simba imewaweka kitimoto wachezaji wanne wa klabu hiyo kutokana na utovu wa nidhamu.Katika taarifa iliyotolewa na klabu hiyo imesema wachezaji hao watatakiwa kujieleza pindi watakapomaliza majukumu yao ya kimataifa kutokana na utovu huo wa nidhamu waliouonyesha.Taarifa kamili hiyo hapa.
mwandishi wa habari hizi ana taaluma ya habari na mawasiliano kutoka chuo kikuu cha saut mwanza huku akiwa na uzoefu wa kuandika habari za michezo kwa zaidi ya miaka saba sasa.
Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited