Home Soka Mastaa Simba sc Kikaangoni

Mastaa Simba sc Kikaangoni

by Sports Leo
0 comments

Klabu ya Simba imewaweka kitimoto wachezaji wanne wa klabu hiyo kutokana na utovu wa nidhamu.Katika taarifa iliyotolewa na klabu hiyo imesema wachezaji hao watatakiwa kujieleza pindi watakapomaliza majukumu yao ya kimataifa kutokana na utovu huo wa nidhamu waliouonyesha.Taarifa kamili hiyo hapa.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited