Home Soka Mashabiki Simba sc Wamvamia Aussems

Mashabiki Simba sc Wamvamia Aussems

by Dennis Msotwa
0 comments

Mashabiki wa Simba sc jana walitoa kali ya kufungia mwaka baada ya kumvamia kocha Patrick Aussems ili kupiga nae picha baada ya mchezo mchezo dhidi ta Ruvu Shooting kumalizika na ushindi wa mabao 3-0 katika uwanja wa uhuru jijini Dar es salaam.

Mashabiki hao walimvamia kocha huyo huku wakiimba nyimbo za kumsifia wakitamka “Tunakupenda uchebe hata kama viongozi hawakutaki sisi tunakutaka na kukupenda”huku baadhi wakimvamia na kutaka kupiga picha na kocha huyo.

Polisi walifanikiwa kumpa ulinzi kocha huyo ili aweze kutoka uwanjani salama huku pia wakifanikiwa kuwadhibiti mashabiki waliokua wakitaka kupiga picha na Meddie Kagere na Tairone Dos Santos na kuwaacha mashabiki hao wakilalamika.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited