Snapinsta.app 411502151 18169307869295954 569213476081116751 n 1080

Namungo Yafunga Usajili na Kagere

Aliyekuwa mshambuliaji wa klabu ya Singida Fountain Gate Fc Meddie kagere amejiunga na klabu ya Namungo yenye maskani yake mkoani Mtwara katika wilaya ya Ruangwa kwa mkataba wa mkopo wa miezi 6. Mchezaji huyo wa zamani wa Simba sc alijiunga na Singida Fountain Gate mwaka ambapo baada ya kuitumikia klabu hiyo kwa nusu msimu sasa…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks